• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

AGAKHAN WAONESHA NIA YA KUANZISHA KITUO CHA KULEA WATOTO KARIAKOO.

Posted on: February 26th, 2026

AGAKHAN WAONESHA NIA YA KUANZISHA KITUO CHA KULEA WATOTO KARIAKOO.

 

Meneja Mkuu Shirika la Masoko ya Kariakoo CPA. Ashraph Abdukarim amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa Chuo Kikuu cha Agakhan, mazungumzo hayo yamejikita kwenye uwekezaji wa miundombinu na uaznzishaji wa kituo cha kulea watoto katika Soko Kuu la Kariakoo.


CPA. Abdulkarim amewaeleza viongozi hao kuwa shirika limeandaa eneo zuri na kubwa ambalo endapo mwekezaji akijitokeza anaweza kujenga kituo hicho ambacho ujenzi wake ni utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa Februari 8, 2026 alipofungua soko hilo rasmi.


CPA. Abdulkarim amebainisha kuwa kinachoendelea kwa sasa ni maandalizi ya michoro na taarifa ya kina kuhusu namna gani kituo hicho kiwe ambapo taarifa hizo zinaandaliwa na Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI baada ya kutembelea eneo hilo wakiwa na wataalam mbalimbali ambao waliambatana na wataalam wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Jiji la Dar es Salaam.


Kwa upande wake Mkuu wa ujumbe huo kutoka Chuo Kikuu cha Agakhan, Prof Paschal Ruggajo ameushukuru uongozi wa Shirika la Masoko la Kariakoo kwa kukubali kukutana nao, kwani wanayo nia ya dhati ya kuanzisha kituo hicho kwa kutambua umuhimu wa afya na mazingira salama kwa mama na mtoto.


Naye, Dkt. Mariam Nooran ambaye ni Mkuu wa Idara ya Watoto Chuo Kikuu cha Agakhan ameonesha umuhimu wa kuwa na eneo la kunyonyesha na pia kulea watoto kwa pamoja na kubainisha kuwa yapo mambo mbalimbali yanapaswa kuzingatiwa ikiwemo usafi, usalama na mazingira yanayowapa fursa watoto kucheza.


Ikumbukwe kuwa Shirika la Masoko Kariakoo lilitenga eneo maalum kwa ajili ya wakina mama wanaofanya biashara katika Soko Kuu la Kariakoo kunyonyesha watoto wao, jambo ambalo limepata mwitikio mkubwa kutoka kwa jamii.


Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIAKOO YAJA NA MWAROBAINI WA MAEGESHO, MAGARI ZAIDI YA 400 YAEGESHWA KWA SIKU.

    March 31, 2026
  • RAIS SAMIA AWAPUNGUZIA KODI WAFANYABIASHARA SOKO KUU LA KARIAKOO.

    March 09, 2026
  • DC MPOGOLO ATINGA KARIAKOO USIKU, BARABARA ZAFUNGUKA.

    March 09, 2026
  • KARIAKOO KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WANAWAKE

    March 05, 2026
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.