Shirika la Masoko ya Kariakoo linapenda kuwafahamisha wananchi na wafanyabiashara kuwa imebakia siku moja kwa mnada wa maeneo ya kupangisha kwenye eneo la Tabata Bima . Mnada utafungwa kesho tarehe 07 Septemba 2024 ifikapo saa 6.00 usiku.Wafanyabiashara wenye nia ya kupata nafasi za kupangisha wanatakiwa kujisajili kwenye mfumo wa TAUSI kupitia anwani: tausi.tamisemi.go.tz
General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,
Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania
Simu: +255 22 2180678
Simu ya kiganjani:
Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz
Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.