• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

KARIAKOO, URA SECURITY KUIMARISHA ULINZI SOKO LA KARIAKOO.

Posted on: February 27th, 2026

KARIAKOO, URA SECURITY KUIMARISHA ULINZI SOKO LA KARIAKOO.

Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo CPA. Ashraph Abdulkarim amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi kupitia kampuni yake ya Ulinzi ya URA Security ambayo ndiyo yenye dhamna ya ulinzi wa Soko la Kariakoo.

Mazungumzo hayo yamejikita katika kuweka mikakati ya kuboresha shughuli za ulinzi na usalama wa raia wanaoingia sokoni hapo pamoja mali za wadau mbalimbali wanaotumia soko hilo kongwe na kubwa katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.

CPA. Abdulkarim ameutaka uongozi wa kampuni hiyo kuendelea kuzingatia utu, lugha nzuri na heshima wakati wa utekelezaji wa majukumu yao kwa kuwa soko hilo linapokea watu mbalimbali na wenye haiba tofauti.

“Kila mtu anao wajibu wa kufurahia huduma nzuri tunazotoa kwa wateja wetu huku tukizingatia kila anayeingia anakuwa salama yeye pamoja na mali zake wakati wote, hivyo tuendelee kuhakikisha tunasimia misingi ya kazi zetu na tunazifanya kwa weledi mkubwa” ameongeza CPA. Abdulkarim

Akiongea kwa niaba ya Mtendaji Mkuu wa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi, Bw. Shukuru Makaranga amelihakikishia Shirika la Masoko ya Kariakoo kuwa wakati wote watatoa huduma nzuri kwa kuzingatia weledi, nidhamu na mifumo sahihi ya mawasiliano iliyopo ili kuhakikisha changamoto zote zinashughulikiwa kwa wakati.



Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIAKOO, URA SECURITY KUIMARISHA ULINZI SOKO LA KARIAKOO.

    February 27, 2026
  • AGAKHAN WAONESHA NIA YA KUANZISHA KITUO CHA KULEA WATOTO KARIAKOO.

    February 26, 2026
  • JKCI NDANI YA SOKO KUU LA KARIAKOO, WANANCHI KUPATA HUDUMA BURE NDANI YA WIKI MOJA

    February 24, 2026
  • KARIAKOO, ZIMAMTOTO WATOA ELIMU YA ZIMAMOTO NA UOKOJI KWA WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 400

    February 23, 2026
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.