• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

MALORI YA BIASHARA YA JUMLA RUKSA SHIMONI KARIAKOO, MSAMAHA WA USHURU KWA WIKI MBILI.

Posted on: April 26th, 2026

MALORI YA BIASHARA YA JUMLA RUKSA SHIMONI KARIAKOO, MSAMAHA WA USHURU KWA WIKI MBILI.

Uongozi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo umeruhusu magari ya mizigo kuingiza vyakula katika katika Soko Kuu la Kariakoo (shimoni) ili kuwarahisisha huduma za upatikanaji wa vyakula vya jumla kwa wafanyabiashara wa soko hilo la kimataifa na kongwe nchini na kutoa msamaha wa ushuru kwa kipindi cha wiki mbili.

Kauli hiyo imetolewa leo na Meneja Mkuu wa Shirika hilo, CPA Ashraph Abdulkarim wakati wa zoezi usafi ikiwa ni maadhimisho ya miaka 62 ya Muungano wa Tanzania Bara na Zanzibar, kufuatia maelekezo ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo wa kuruhusu magari hayo kuingia sokoni hapo.

CPA. Abdulkarim ameongeza kuwa uamuzi wa magari kuingia sokoni hapo kutatanua wigo wa upatikanaji wa bidhaa za chakula sokoni hapo kupatikana kwa jumla, hivyo kusaidia wafanyabiashara wa masoko mbalimbali ya mkoa wa Dar es Salaam.

Aidha, magari yatakayoruhusiwa kuingia sokoni hapo mchana ni yale ambayo yapo chini ya tani tano tu ambapo yale ambayo ni zaidi ya ujazo huo yataingia sokoni hapo majira ya usiku ili kutoathiri shughuli zingine za wafanyabiashara ndani ya eneo la Kariakoo.

Maadhimisho ya Sikukuu ya Muungano hufanyika Aprili 26 kila mwaka ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni “Miaka 62 ya Muungano: Amani, Umoja, na Mshikamano ni Msingi wa Maendeleo Endelevu”

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MALORI YA BIASHARA YA JUMLA RUKSA SHIMONI KARIAKOO, MSAMAHA WA USHURU KWA WIKI MBILI.

    April 26, 2026
  • KARIAKOO YAJA NA MWAROBAINI WA MAEGESHO, MAGARI ZAIDI YA 400 YAEGESHWA KWA SIKU.

    March 31, 2026
  • RAIS SAMIA AWAPUNGUZIA KODI WAFANYABIASHARA SOKO KUU LA KARIAKOO.

    March 09, 2026
  • DC MPOGOLO ATINGA KARIAKOO USIKU, BARABARA ZAFUNGUKA.

    March 09, 2026
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.