Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa akikakabidhi nyaraka za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Mwenyekiti wa CUF Taifa Mhe. Prof. Ibrahim Lipumba (kulia) mara baada ya kutangazwa kwa tarehe ya uchaguzi huo Dodoma Agosti 15,2024. ">
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Mhe.Hawa Abdurahman Ghasia akichangia mada kwenye Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Umma kilichofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC), jijini Arusha ,Agosti 30, 2024. ">
Posted on: October 15th, 2024
Watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo wamekumbushwa kujitokeza na kujiandikisha kwenye Orodha ya Mpiga Kura wa Serikali za Mitaa kwa ajili ya kushiriki uchaguzi wa viongozi utakao...