• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • About KMC
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa taasisi
    • Core Functions
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Investment and Projects
    • Ongoing Projects
    • Miradi iliyokamilika
    • Upcoming Projects
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Tenders
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • E- Services Links
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Miradi ya Maendeleo

Start Date: 2019-06-01
End Date: 2024-06-30

Click here to open the Project document

Miradi ya Maendeleo iliyotekelezwa  na Uwekezaji

Shirika la Masoko ya Kariakoo kama ilivyo kwa taasisi nyingine za serikali linayo mipango madhubuti ya Uwekezaji kwa ajili ya maendeleo yake. Katika kipindi chote ambapo limekuwepo kutekeleza shughuli zake kwa mujibu wa Sheria yake, limefanikiwa kutekeleza shughuli  kadhaa za kimaendeleo. Miongoni mwa shughuli hizo ni kama vile;

 Usimamizi wa Soko Kuu na Soko Dogo kwamba Masoko haya yote yameendelea kuwepo tangu yalipojengwa na kuanza kutumika katika uingizaji wa mapato.

Shirika limefanikiwa kujenga nyumba saba (7) za kawaida na Ghorofa moja  katika maeneo ya Mbezi Beach- Makonde na Tabata Bima.

Shirika limenunua rasilimali ardhi (Viwanja) na kumiliki katika maeneo ya Mbezi Beach Makonde na Tabata Bima, kwa ajili ya kufanya uwekezaji.Ukubwa wa maeneo yote kwa pamoja ni hekta

Shirika lina eneo la Soko Dogo ambalo linahitaji Uwekezaji mkubwa kwa kujenga Jengo jipya la Kisasa ambalo litaweza kutoa nafasi nyingi za maeneo ya kufanya biashara, Maegesho ya magari na huduma nyingine za kibiashara. Eneo hili lina eneo lina Mita za  Mraba 3598. Mbezi Beach Makonde kuna Mita za Mraba 6119 na Tabata Bima ni mita za mraba 10117.14. Hatua za awali zimeanza kwa ajili ya kupata Wawekezaji kupitia njia mbalimbali za kiuwekezaji.

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

    October 11, 2025
  • Meneja Mkuu Shirika la Masoko Kariakoo, Bw. Ashiraf Abdulkarim anasema Kariakooo ndiyo Soko kubwa ambalo wafanyabiashara wa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania wanakuja kufanya biashara.

    September 24, 2025
  • Dkt. Jafo: Wafanyabiashara Kariakoo Kuweni Mabalozi wa Amani

    August 15, 2025
  • Soko la Kariakoo Kuwa na Bima ya Majanga

    July 31, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.