• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

KARIAKOO YAJA NA MWAROBAINI WA MAEGESHO, MAGARI ZAIDI YA 400 YAEGESHWA KWA SIKU.

Posted on: March 31st, 2026

KARIAKOO YAJA NA MWAROBAINI WA MAEGESHO, MAGARI ZAIDI YA 400 YAEGESHWA KWA SIKU.

Wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam na maeneo ya jirani wamefurahishwa na uwepo wa maegesho yaliyopo Soko Kuu la Kariakoo ambayo yana uwezo wa kuchukua magari zaidi 400 kwa wakati mmoja huku magari zaidi ya 1000 yakikadiriwa kuingia na kutoka katika maegesho hayo.

Wananchi hao wameeleza kuwa kabla ya kuwepo maegesho hayo walikuwa wanahangaika kutafuta maeneo ambayo wanaweza kuegesha magari hayo, huku ikiwachukua zaidi ya nusu saa bila mafanikio kitu kilichokuwa kikiwafanya kutotumia magari yao binafsi wanapoenda Kariakoo kwa ajili ya kupata mahitaji mbalimbali.

“Maegesho ya magari kwa eneo la Kariakoo ni changamoto sana lakini tunaishukuru Serikali kujenga maeneo ya kuegesha magari katika Soko Kuu la Kariakoo, hii imetatua changamoto nyingi sana, magari yanapaki maeneo yenye kivuli na usalama wa kutosha, tusisite kuja na magari yetu Kariakoo” ameshuhudia Bw. Kassim mkazi wa Kimara

Akielezea maegesho hayo, Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo, CPA. Ashraph Abdulkarim amesema uwepo wa maegesho ya magari ndani ya Soko la Kariakoo kumerahisisha utoaji wa huduma kwani hapo awali mtu alilazimika kuegesha gari lake eneo tofauti na kwenda kwenye soko hilo na wakati mwingine inaleta usumbufu hasa wanapokuwa na mizigo.

“Kipekee namshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kukarabati na kujenga jengo jingine jipya katika Soko letu la Kariakoo ambapo ujenzi na ukarati huo kumehusisha pia ujenzi wa maegeshi ya magari ambayo yameleta tija kubwa sana kwa wakazi wa mkoa wa Dar es Salaam na maeneo ya jirani” amebainisha CPA. Abdulkarim.


Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIAKOO YAJA NA MWAROBAINI WA MAEGESHO, MAGARI ZAIDI YA 400 YAEGESHWA KWA SIKU.

    March 31, 2026
  • RAIS SAMIA AWAPUNGUZIA KODI WAFANYABIASHARA SOKO KUU LA KARIAKOO.

    March 09, 2026
  • DC MPOGOLO ATINGA KARIAKOO USIKU, BARABARA ZAFUNGUKA.

    March 09, 2026
  • KARIAKOO KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WANAWAKE

    March 05, 2026
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.