• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA KUZINGATIA USAFI.

Posted on: July 21st, 2026

WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA KUZINGATIA USAFI.


Shirika la Masoko ya karikoo limeendelea kuwakumbusha wafanyabishara wa Soko Kuu la Kariakoo umuhimu wa kutunza mazingira ya soko na kuzingatia usafi binafsi wa wafanyabiashara ili kulinda afya zao na wateja kwa ujumla.


Wito huo umetolewa na Afisa Afya Mazingira Bw. Sunday Ringo wakati akitoa elimu kwa wafanyabiashara hao, elimu ambayo imelenga kuongeza uelewa kuhusu masuala ya usafi ili kuepuka magonjwa ya kuambukiza ambayo yanaweza kusababishwa na kutozingatia kanuni za afya na usafi.


Bw. Ringo ameongeza kuwa Soko Kuu la Kariakoo ni la kimataifa hivyo ni lazima shughuli zinazofanyika sokoni hapo zifanyike katika mazingira ya usafi ambao unakidhi kanuni na miongozo ya kimataifa na hivyo kuendelea kuwa kivutio ndani na nje ya nchi.


Bw. Ringo amesisitiza wafanyabiashara hao husani wale wanaojihusisha na biashara ya kukuna nazi pamoja na wale wauzaji wa mboga kuvaa gloves maalum ambazo zitawafanya wafanyabiashara hao wasishike mboga hizo moja kwa moja.


Kwa upande wake Afisa Afya Mazingira Masaidizi Bi Bahati Godi aliwasihi wafanyabiashara kuendelea kuzingatia kanunuzi zote za afya na usafi ili kuweza kulinda afya zao na afya za wateja wote wanaolitumia soko kuu la Kariakoo.


Wafanyabiashara hao wameushukuru uongozi wa Soko hilo kwa kutoa elimu kwa wafanyabiashara na kuahidi kufuata maelekezo waliyopata kutoka kwa wataalam na kuendelea kutoa elimu kwa wafanyabiashara wengine ambao hakuwepo katika zoezi la kutoa elimu.


Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA KUZINGATIA USAFI.

    July 21, 2026
  • MALORI YA BIASHARA YA JUMLA RUKSA SHIMONI KARIAKOO, MSAMAHA WA USHURU KWA WIKI MBILI.

    April 26, 2026
  • KARIAKOO YAJA NA MWAROBAINI WA MAEGESHO, MAGARI ZAIDI YA 400 YAEGESHWA KWA SIKU.

    March 31, 2026
  • RAIS SAMIA AWAPUNGUZIA KODI WAFANYABIASHARA SOKO KUU LA KARIAKOO.

    March 09, 2026
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.