• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

DC MPOGOLO ATINGA KARIAKOO USIKU, BARABARA ZAFUNGUKA.

Posted on: March 9th, 2026

DC MPOGOLO ATINGA KARIAKOO USIKU, BARABARA ZAFUNGUKA.

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amesema Serikali ya wilaya hiyo itaendelea kutoa elimu kwa wafanyabiashara, machinga na waendesha bodaboda pamoja na wadau wengine wa Kariakoo kuhusu umuhimu wa kuacha wazi na kuwezesha kupitika kwa barabara zinazoingia na kutoka soko la Kariakoo.

Mhe. Mpogolo ametoa kauli hiyo alipofanya ziara eneo la kariakoo majira ya usiku ili kujionea utekelezaji wa mpango wa kufungua barabara Kariakoo huku akiwa ameambatana na Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo, Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, viongozi wa Juimuiya ya Wafanyabiashara, viongozi wa Machinga pamoja na viongozi wa boda boda na maguta.

Mhe. Mpogole amesisitiza kuwa Serikali haitasita kuchukua hatua za kisheria kwa wale watakaokaidi agizo la kufungua barabara, kwakuwa watu wengi wameitikia agizo hilo chanya na kuipongeza serikali kwa uamuzi huo kwakuwa sasa baadhi ya barabara zinapitika na kuondoa usumbufu kwa wadau mbalimbali wanaofika Kariakoo kwa shughuli mbalimbali.

Kwa upande wake Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo CPA. Ashraph Abdulkarim ameishukuru Serikali ya Mkoa, Wilaya pamoja na Uongozi wa Jiji la Dar es Salaam kwa  namna ilivyoshughulikia zoezi la kufungua barabara zinazoingia na kutoka Soko Kuu la Kariakoo kwa weledi mkubwa na sasa zinapitika bila usumbufu wowote.

Naye, Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Bw. Elihuruma Mabelya amesema zoezi la kufungua njia za kutoka na kuingia Kariakoo lilikuwa ni shirikishi na lilikuwa na lengo la kulinda mtaji ambao umewekwa na serikali Soko Kuu la Kariakoo na kufanya soko hilo kuwa taswira njema kwa watu kutoka ndani na nje ya nchi, hivyo wataendelea kushirikiana na wadau mbalimbali ili kuhakikisha zoezi hilo linakamilika kwa ufanisi.



Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MPOGOLO ATINGA KARIAKOO USIKU, BARABARA ZAFUNGUKA.

    March 09, 2026
  • KARIAKOO KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WANAWAKE

    March 05, 2026
  • KARIAKOO, URA SECURITY KUIMARISHA ULINZI SOKO LA KARIAKOO.

    February 27, 2026
  • AGAKHAN WAONESHA NIA YA KUANZISHA KITUO CHA KULEA WATOTO KARIAKOO.

    February 26, 2026
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.