• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Wananchi Jitokezeni Kupiga Kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa-Dkt.Dugange

Posted on: August 5th, 2024

Na.OR-TAMISEMI


Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Dkt. Festo Dugange amehimiza wananchi kujitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwa kuwa viongozi hao ndio wanaomsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuleta maendeleo katika maeneo yao.


Mhe. Dugange ametoa kauli hiyo tarehe 4 Agosti, 2024 alipotembelea banda la Ofisi ya Rais TAMISEMI katika Maonesho ya Wakulima na Wafugaji (Nanenane) yanayofanyika katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.


Pia, amewataka viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kukitumia Chuo cha Serikali za Mitaa kutoa mafunzo kwa viongozi watakaochaguliwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2024 na wale watakaochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba 2025 ili waweze kutimiza majukumu yao ipasavyo.

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SOKO LA KARIAKOO LATENGA VYUMBA MAALUM VYAA KUNYONYESHA KWA WAKINA MAMA.

    December 30, 2025
  • UKARABATI NA UJENZI WA SOKO LA KARIAKOO WAFIKIA ASILIMIA 99, TAYARI KWA KUFUNGULIWA.

    December 24, 2025
  • WATUMISHI KARIAKOO WAPEWA MKONO WA SIKUKUU ZA MWISHO WA MWAKA, WAHIMIZWA KUENDELEA KUWAJIBIKA.

    December 22, 2025
  • SOKO LA KARIAKOO MBIONI KUFUNGULIWA

    December 19, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.