• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

TAMISEMI, SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO WAANZA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA RAIS WAKATI WA UFUNGUZI WA SOKO KUU LA KARIAKOO

Posted on: February 14th, 2026

TAMISEMI, SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO WAANZA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA RAIS WAKATI WA UFUNGUZI WA SOKO KUU LA KARIAKOO

 

Uongozi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo umekutana na viongozi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa lengo la kukagua na kujadiliana mahitaji ya eneo la kulelea watoto ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Februari 8, 2026 wakati wa ufunguzi wa Soko Kuu la Kariakoo.


Baada ya kutembelea eneo lililotengwa kwa ajili ya kujenga miundombinu ya kisasa yenye kukidhi viwango vya kimataifa, viongozi hao wamekubaliana kuwa wataalam wataandaa taarifa ya kina ambayo itawezesha kutekeleza agizo hilo la Mhe. Rais kwa haraka na kwa ubora unaotakiwa.


Viongozi hao wa TAMISEMI wameambatana na viongozi na wataalam kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, pamoja na wataalam Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TAMISEMI, SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO WAANZA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA RAIS WAKATI WA UFUNGUZI WA SOKO KUU LA KARIAKOO

    February 14, 2026
  • RAIS SAMIA AFUNGUA SOKO KUU LA KARIAKOO, ATAKA LIWE SOKO LA KUIGWA NDANI NA NJE YA NCHI.

    February 08, 2026
  • SHIRIKA LA MASOKO WAKUTANA NA OFISI YA MSAJILI WA HAZINA KWA TATHMINI YA UTENDAJI KAZI.

    February 02, 2026
  • KUELEKEA UFUNGUZI WA SOKO: SHIRIKA LA MASOKO LAWEZESHA SHUGHULI ZA ZIMAMOTO NA UOKOAJI KATIKA ENEO LA KARIAKOO.

    January 29, 2026
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.