• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • About KMC
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa taasisi
    • Core Functions
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Investment and Projects
    • Ongoing Projects
    • Miradi iliyokamilika
    • Upcoming Projects
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Tenders
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • E- Services Links
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Ghasia : Soko Jipya Kariakoo ni Mafanikio ya Rais Samia

Posted on: March 16th, 2025

Kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa lililokuwa soko dogo na ukarabati wa soko kuu la Kariakoo lilioungua Julai 2021 umetajwa kuwa moja ya mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita tangu ilipoingia madarakani miaka minne iliyopita.


Mafanikio hayo yameleezwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Hawa Ghasia Machi 14,2025 alipozungumza na kituo cha Televisheni cha ZBC jijini Dar es Salaam kuelezea maandalizi ya kurejesha shughuli katika Soko la Kariakoo.


Katika mazungumzo hayo yaliyorushwa mubashara kupitia kipindi cha Asubuhi Njema, Ghasia alimpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha shilingi Bilioni 28.03 mwaka 2022 kwa ajili ya kutekeleza mradi huu wa kimkakati ambao umekamilika mwaka huu.


“Kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti, na Watumishi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo tunatoa pongezi za dhati kwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza miaka minne ya uongozi wake wenye mafanikio makubwa kwa taifa letu” alisema Mwenyekiti huyo wa Bodi.


Ghasia aliongeza kusema chini ya uongozi mahiri wa Rais Samia, Soko la Kariakoo limepata mageuzi makubwa, limejengwa upya na kufanyiwa ukarabati wa kisasa, ambapo litawanufaisha wafanyabiashara zaidi ya 2000 na ajira zaidi ya 4000 zikitarajia kupatikana.

Alipoulizwa kuhusu lini Soko la Kariakoo litarejesha shughuli zake, Ghasia alitaja mwezi Aprili mwaka huu kazi ya kuwapanga wafanyabiashara kwenye maeneo ndani ya soko itakamilika na hivyo kufanya soko lianze kazi kwa muda wa saa 24.

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

    October 11, 2025
  • Meneja Mkuu Shirika la Masoko Kariakoo, Bw. Ashiraf Abdulkarim anasema Kariakooo ndiyo Soko kubwa ambalo wafanyabiashara wa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania wanakuja kufanya biashara.

    September 24, 2025
  • Dkt. Jafo: Wafanyabiashara Kariakoo Kuweni Mabalozi wa Amani

    August 15, 2025
  • Soko la Kariakoo Kuwa na Bima ya Majanga

    July 31, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.