• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • About KMC
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa taasisi
    • Core Functions
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Investment and Projects
    • Ongoing Projects
    • Miradi iliyokamilika
    • Upcoming Projects
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Tenders
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • E- Services Links
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Kamati ya Bunge Yaridhishwa na Mradi wa Soko la Kariakoo

Posted on: February 21st, 2025

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imeridhishwa na ujenzi  unaoendelea wa Mradi wa Soko la Kariakoo jijini Dar es salaam.

Akizungumza mara baada ya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa Mradi wa Soko la Kariakoo ( tarehe 21 Februari, 2025) pamoja na kujionea eneo lilipotokea tukio la kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo, Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa Florent Kyombo ameipongeza Serikali  ya Awamu ya Sita chini ya uongozi mahiri wa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa namna ilivyopambana kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha inaokoa watu na mali wakati yalipotokea maafa  nchini.

Makamu Mwenyekiti huyo alieleza kuwa  ujenzi wa mradi wa soko la Kariakoo ni hatua nzuri ambayo itasaidia wafanyabiashara na wengine wanaopata huduma katika eneo hilo kufanya shughuli zao katika eneo rafiki na salama.

Akizungumza kuhusu jengo lililoporomoka katika eneo la Kariakoo alisema Serikali imeendelea kuratibu vyema masuala ya menejimenti ya maafa nchini kwa kuchukua hatua za haraka katika kunusuru uhai na mali za watu wake pindi maafa yanapotokea.

“Tunaendelea kuishukuru na kuipongeza Serikali kupitia Rais wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa upendo wake mkubwa na moyo wa kujali aliouonesha wakati wote tulipopatwa na haya maafa hadi sasa Serikali inapoendelea kuimarisha miundombinu na kurejesha hali,” Amesema Mhe. Kyombo.

Naye Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu  anayeshughulikia  masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Mheshimiwa Ummy Nderiananga ameipongeza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kwa uamuzi wake wa kutembelea na kujionea athari zilizotokana na kuanguka kwa ghorofa hilo na hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa mradi wa Soko la Kariakoo.

Kwa upande wake Kaimu Meneja Mkuu wa  Shirika la Masoko ya Kariakoo Mary Maridadi alieza kuwa taratibu za kuwarejesha waliokuwa wafanyabiashara 1,520 waliokidhi sifa na vigezo vya uhakiki zinaendelea kuratibiwa.


Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

    October 11, 2025
  • Meneja Mkuu Shirika la Masoko Kariakoo, Bw. Ashiraf Abdulkarim anasema Kariakooo ndiyo Soko kubwa ambalo wafanyabiashara wa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania wanakuja kufanya biashara.

    September 24, 2025
  • Dkt. Jafo: Wafanyabiashara Kariakoo Kuweni Mabalozi wa Amani

    August 15, 2025
  • Soko la Kariakoo Kuwa na Bima ya Majanga

    July 31, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.