• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • About KMC
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa taasisi
    • Core Functions
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Investment and Projects
    • Ongoing Projects
    • Miradi iliyokamilika
    • Upcoming Projects
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Tenders
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • E- Services Links
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

Posted on: October 11th, 2025


Meneja  Mkuu wa Shirika la Masoko Kariakoo Ashraph Abdulkrim ametanabaisha kuwa wamefanikiwa kuwafanyia uhakiki wafanyabiashara 1520 ambao waliafikiwa kwenye kamati ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam hatua inayopelekea kukamilsha hatua za awali kuelekea ufunguzi wa Soko la Kariakoo ambalo limekamilika kukarabatiwa na kujengwa upya


Alisema kuwa zoezi hilo limefanyika kwa uwazi na ukubwa wa kuridhisha hadi kufikia hatua ya kuwapangia na kuwarejesha kwenye maeneo yao tangu lilipokabidhiwa rasmi kwenye shirika baada ya ujenzi kukamilika. 


Abdulkarim alisema alisema hayo 09 Oktoba 2025 wakati wa hafla ya kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Mteja iliyofanyika ndani ya Soko la Kariakoo na kuhudhuriwa na wafanyabiashara zaidi ya 200 ambapo  amesisitiza kuwa wakati wanaendelea kuadhimisha wiki ya huduma kwa mteja wataendelea kulinda miundombinu ya jengo hilo kwa wivu mkubwa huku akitumia wiki hii kukutana na kutatua hoja na malalamiko yao ndani ya soko hilo.

Shirika la Masoko ya Kariakoo lipo kwenye maandalizi ya mwisho kuelekea kurejesha biashara ndani ya sok hilo ambapo Serikali ya Awamu ya Sita imelijenga kwa gharama ya shilingi Bilioni 28.03

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

    October 11, 2025
  • Meneja Mkuu Shirika la Masoko Kariakoo, Bw. Ashiraf Abdulkarim anasema Kariakooo ndiyo Soko kubwa ambalo wafanyabiashara wa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania wanakuja kufanya biashara.

    September 24, 2025
  • Dkt. Jafo: Wafanyabiashara Kariakoo Kuweni Mabalozi wa Amani

    August 15, 2025
  • Soko la Kariakoo Kuwa na Bima ya Majanga

    July 31, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.