• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

Posted on: October 11th, 2025


Meneja  Mkuu wa Shirika la Masoko Kariakoo Ashraph Abdulkrim ametanabaisha kuwa wamefanikiwa kuwafanyia uhakiki wafanyabiashara 1520 ambao waliafikiwa kwenye kamati ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam hatua inayopelekea kukamilsha hatua za awali kuelekea ufunguzi wa Soko la Kariakoo ambalo limekamilika kukarabatiwa na kujengwa upya


Alisema kuwa zoezi hilo limefanyika kwa uwazi na ukubwa wa kuridhisha hadi kufikia hatua ya kuwapangia na kuwarejesha kwenye maeneo yao tangu lilipokabidhiwa rasmi kwenye shirika baada ya ujenzi kukamilika. 


Abdulkarim alisema alisema hayo 09 Oktoba 2025 wakati wa hafla ya kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Mteja iliyofanyika ndani ya Soko la Kariakoo na kuhudhuriwa na wafanyabiashara zaidi ya 200 ambapo  amesisitiza kuwa wakati wanaendelea kuadhimisha wiki ya huduma kwa mteja wataendelea kulinda miundombinu ya jengo hilo kwa wivu mkubwa huku akitumia wiki hii kukutana na kutatua hoja na malalamiko yao ndani ya soko hilo.

Shirika la Masoko ya Kariakoo lipo kwenye maandalizi ya mwisho kuelekea kurejesha biashara ndani ya sok hilo ambapo Serikali ya Awamu ya Sita imelijenga kwa gharama ya shilingi Bilioni 28.03

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • JKCI NDANI YA SOKO KUU LA KARIAKOO, WANANCHI KUPATA HUDUMA BURE NDANI YA WIKI MOJA

    February 24, 2026
  • KARIAKOO, ZIMAMTOTO WATOA ELIMU YA ZIMAMOTO NA UOKOJI KWA WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 400

    February 23, 2026
  • TAMISEMI, SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO WAANZA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA RAIS WAKATI WA UFUNGUZI WA SOKO KUU LA KARIAKOO

    February 14, 2026
  • RAIS SAMIA AFUNGUA SOKO KUU LA KARIAKOO, ATAKA LIWE SOKO LA KUIGWA NDANI NA NJE YA NCHI.

    February 08, 2026
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.