• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • About KMC
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa taasisi
    • Core Functions
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Investment and Projects
    • Ongoing Projects
    • Miradi iliyokamilika
    • Upcoming Projects
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Tenders
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • E- Services Links
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Mafunzo ya TAUSI kwa Wafanyabiashara Soko la Kariakoo

Posted on: March 12th, 2025


Shirika la Masoko ya Kariakoo limechukua hatua muhimu kuelekea ufunguzi na urejeshaji wa biashara katika soko jipya la Kariakoo ambapo limetoa mafunzo kwa wafanyabiashara kuhusu mfumo wa kielektroniki wa TAUSI, udhibiti wa majanga, elimu ya bima, na fursa za mikopo ya biashara.

Kaimu Meneja Mkuu wa Shirika Mary Maridadi akifungua mafunzo hayo ya siku mbili (Machi 10,2025) Msimbazi, Dar es Salaam alisema lengo la mafunzo ni kuwawezesha wafanyabiashara kuelewa na kutumia mfumo wa kielektroniki wa TAUSI na pia kuandaa wafanyabiashara kwa ufunguzi wa soko na kurejesha biashara.

Akizungmza kuhusu Mfumo wa TAUSI Afisa TEHAMA wa Shirika Emmanuel Mjunguli alieleza kuwa mfumo huo ni mfumo rafiki unaowaruhusu wafanyabiashara kujisajili, kupata maeneo ya biashara, na kupata hati za malipo kwa urahisi.

Mjunguli aliongeza kusema wafanyabiashara wanaweza kujiunga na mfumo kupitia tovuti https://tausi.tamisemi.go.tz ambapo alitaja wanahitajika kuwa na namba ya kitambulisho cha Taifa na namba ya mlipa kodi (TIN).

Ramadhani Mtengule ni mfanyabiashara aliyeshiriki mafunzo hayo ambapo alionesha kufurahishwa na mafunzo hayo na kwamba yanatoa matumaini ya kurejea sokoni na kuendelea na biashara zao kwa tija.

Mafunzo yalihusisha watoa mada kutoka Mamlaka ya Mapato (TRA), Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Benki za TCB na NBC, na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na yalilenga kuwafikia wafanyabiashara 1,520 watakaorejeshwa sokoni awamu ya kwanza.

Mwisho

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

    October 11, 2025
  • Meneja Mkuu Shirika la Masoko Kariakoo, Bw. Ashiraf Abdulkarim anasema Kariakooo ndiyo Soko kubwa ambalo wafanyabiashara wa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania wanakuja kufanya biashara.

    September 24, 2025
  • Dkt. Jafo: Wafanyabiashara Kariakoo Kuweni Mabalozi wa Amani

    August 15, 2025
  • Soko la Kariakoo Kuwa na Bima ya Majanga

    July 31, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.