• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO, OSHA WATETA KUELEKEA UFUNGUZI WA SOKO LA KARIAKOO.

Posted on: January 26th, 2026

SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO, OSHA WATETA KUELEKEA UFUNGUZI WA SOKO LA KARIAKOO.


Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo CPA. Ashraph Abdulkarim amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi, mazungumzo ambayo yamejikita katika kuimarisha ushirikiano baina ya taasisi hizo mbili.


CPA. Abdulkarim amesema taasisi yake inalo jukumu la kuhakikisha wafanyabiashara na wafanyakazi wa soko la kariakoo kwa miundombinu yake kufanyiwa ukaguzi na kuthibitishwa na OSHA kuwa ni salama kwa matumizi na hivyo kuepuka athari zinazojitokeza.


“Mkurugenzi nimeona ni muhimu nije tufanye mazungumzo kabla soko halijafunguliwa, tuwaombe mfanye ukaguzi na kutushauri kitu cha kufanya ili tuweze kufanya kazi katika mazingira salama kwa manufaa ya shirika na watumiaji wa soko hilo” Amebainisha CPA. Abdulkarim


Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa OSHA, Khadija Mwenda amemhakikishia Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo kuwa OSHA itafanya ukaguzi wa soko la Kariakoo haraka iwezekanavyo kutokana na umuhimu wa soko hilo katika kukuza uchumi wa nchi.


Ameongeza kuwa OSHA itahakikisha inatoa elimu kwa wafanyabiashara bure na kuweka utaratibu wa kusajili wafanyabiashara na kuwa na kamati za afya na usalama mahali pa kazi, kamati hizo zitaundwa na wafanyabiashara wenyewe na kuahidi baada ya wanyakazi hao kupatiwa elimu watapatiwa pia vifaa.

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO, OSHA WATETA KUELEKEA UFUNGUZI WA SOKO LA KARIAKOO.

    January 26, 2026
  • KARIAKOO KUSAJILI TAARIFA ZA WAFANYA BIASHARA WAKE KATIKA KANZI DATA MAALUM

    January 11, 2026
  • SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO, SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI JESHI LA POLISI WAKUTANA KUJADILI MIKAKATI YA ULINZI SOKO LA KARIAKOO.

    January 09, 2026
  • WATUMISHI WA WASHIRIKA LA MASOKO WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA E-MREJESHO.

    January 08, 2026
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.