• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

ASKARI WA SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO WANOLEWA KUHUSU HUDUDUMA BORA KWA MTEJA.

Posted on: December 5th, 2025

Shirika la Masoko ya Kariakoo limeendesha mafunzo ya siku mbili kwa askari wanaotoa huduma za ulinzi wa soko hilo ikiwa ni mwendelezo wa maandalizi ya kufungua soko hilo la kimataifa tangu lilipofungwa mwaka 2021 kufuatia ajali ya moto.


Miongoni mwa mada zilizofundishwa katika mafunzo hayo ni pamoja na huduma bora kwa mteja pamoja na ukamataji salama na matumizi ya nguvu ya kadri wakati wa ukamataji pale watakapohitajika kufanya hivyo.


Akitoa mafunzo Mkaguzi wa Jeshi la Polisi Kata ya Kariakoo Afande Titus Kachira amewataka askari hao kutoa huduma zao kwa kutumia lugha nzuri na staha, kutoa msaada kwa wateja pale unapohitajika, kuwathamini wateja na kuepuka kutumia nguvu kubwa wakati wa ukamataji.


Afande Kachira ameongeza kuwa wateja watakaofika sokoni hapo wanaamini mahali watakapoweza kupata msaada wa haraka ni kwa askari waliopo katika eneo hilo na kubainisha kuwa endapo hawatapata huduma stahiki watakata tamaa na kwenda maeneo mengine ya huduma.


Akiongea kwa niaba ya Meneja Mkuu wa Shirika hilo, Mkuu wa Kitengo cha Usalama Bw. Jossam A. Mnzava amesema wameamua kutoa mafunzo hayo kwa askari hao kwa kutambua kuwa ni watu muhimu katika mnyororo wa utoaji wa huduma katika soko hilo.


Mafunzo hayo yaliyoanza Disemba 4 hadi 5, 2025 yametolewa kwa ushirikiano kati ya Shirika la Masoko ya Kariakoo na Jeshi la Polisi kwa uratibu wa Mkuu wa Ushirikishwaji Jamii Wilaya ya Kipolisi Kariakoo, Mrakibu wa Polisi Rosemary Kitwala.

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ASKARI WA SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO WANOLEWA KUHUSU HUDUDUMA BORA KWA MTEJA.

    December 05, 2025
  • ASKARI WA SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO WANOLEWA KUHUSU HUDUDUMA BORA KWA MTEJA.

    December 05, 2025
  • ASKARI WA SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO WANOLEWA KUHUSU HUDUDUMA BORA KWA MTEJA.

    December 05, 2025
  • Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

    October 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.