Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanikisha kutoa fedha shilingi Bilioni 28.3 kwa ajili ya ukarabati wa soko la zamani la karikaoo lililoungua moto mwaka Julai 10,2021 na kisha kuanzisha ujenzi wa soko jipya la Kariakoo mradi unaotarajia kukamilika Oktoba 2023.
General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,
Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania
Simu: +255 22 2180678
Simu ya kiganjani:
Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz
Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.