• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Hakuna Atakayerejea Kariakoo Endapo Anadaiwa

Posted on: June 6th, 2024

Serikali ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha taratibu za kuwarejesha wafanyabiashara kwenye Soko la Kariakoo kutokana na mradi wa ujenzi na ukarabati wa soko kufikia asilimia 93

Hatua kadhaa zimeendelea kuchukuliwa ikiwemo utambuzi na uhakiki wa waliokuwa wafanyabishara kabla ya janga la moto. Kazi nyingine inayoendelea ni kupanga biashara kulingana na eneo husika pamoja na kufuatilia madeni ya waliokuwa wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo.


Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam (Aprili 22,2024) karibuni Kaimu Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Sigsibert Valentine alisema  jumla ya Shilingi 497,773,019.26 zinadaiwa  kwa  waliokuwa wafanyabiashara ambapo zinatakiwa kulipwa kabla ya kurejea sokoni .

Valentine aliongeza kusema ni budi mdaiwa kulipa deni lake ili apate nafasi ya kusajiliwa na mfumo katika mfumo wa TAUSI vinginevyo atakuwa amepoteza sifa za kurejea sokoni.

Jitihada za Shirika la Masoko kufuatilia wafanyabiashara wanaodaiwa zinaendelea ambapo hadi sasa Shilingi 15,830,977.71 kimekusanywa hadi sasa aliongeza kusema Valentine.

"Nitoe wito kwa wafanyabiashara kuwa mfanyabiashara yeyote atakayeshindwa kutimiza wajibu wake wa kisheria wa kulipa deni alilokuwa amelimbikiza kabla ya kusitisha shughuli za biashara tarehe 10.07.2021 hatoweza kupata nafasi ya biashara kwenye soko jipya la Kariakoo" alisisitiza Valentine

Mwisho

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ASKARI WA SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO WANOLEWA KUHUSU HUDUDUMA BORA KWA MTEJA.

    December 05, 2025
  • ASKARI WA SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO WANOLEWA KUHUSU HUDUDUMA BORA KWA MTEJA.

    December 05, 2025
  • ASKARI WA SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO WANOLEWA KUHUSU HUDUDUMA BORA KWA MTEJA.

    December 05, 2025
  • Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

    October 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.