• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • About KMC
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa taasisi
    • Core Functions
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Investment and Projects
    • Ongoing Projects
    • Miradi iliyokamilika
    • Upcoming Projects
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Tenders
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • E- Services Links
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Karibu Tena Soko la Kariakoo

Posted on: June 26th, 2025

Shirika la Masoko ya Kariakoo linapenda kuwataarifu wananchi na wadau wote kuwa limefikia hatua za mwisho za maandalizi ya kuwarejesha wafanyabiashara katika Soko Kuu la Kariakoo kufuatia kukamilika kwa mradi mkubwa wa ujenzi na ukarabati wa soko hilo ulioanza mwaka 2022.

Akizungumzia hali ya maandalizi Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo Ashraph Abdulkarim ofisini kwake Dar es Salaam Juni 26,2025 alisema mradi huu umetekelezwa kwa mafanikio makubwa chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Serikali ilitoa shilingi Bilioni 28.03, imewezesha kukamilika kwa mradi huu wa kimkakati ambao unatarajiwa kuleta mchango mkubwa katika uchumi wa nchi kwa kuongeza fursa za biashara pamoja na ajira zaidi ya 4,000 kwa Watanzania kupitia Soko la Kariakoo ambalo litakuwa na nafasi za biashara 1,907.

Tangu kukamilika kwa zoezi la uhakiki wa wafanyabiashara waliokuwepo awali katika soko hilo, Shirika linaendele kuwapanga wafanyabiashara 1,520 pamoja na wale waliopata maeneo ya biashara kupitia mnada katika mfumo wa TAUSI kulingana na aina za biashara zao, na kazi ya upangaji inafanyika kwa kuzingatia usawa, uwazi na ufanisi.

Shirika linawashukuru wafanyabiashara wote kwa ushirikiano wao mkubwa, na tunatarajia kuendelea kushirikiana nao katika hatua inayofuata ya kurejea rasmi katika maeneo yao ya biashara ndani ya soko jipya la Kariakoo.

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

    October 11, 2025
  • Meneja Mkuu Shirika la Masoko Kariakoo, Bw. Ashiraf Abdulkarim anasema Kariakooo ndiyo Soko kubwa ambalo wafanyabiashara wa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania wanakuja kufanya biashara.

    September 24, 2025
  • Dkt. Jafo: Wafanyabiashara Kariakoo Kuweni Mabalozi wa Amani

    August 15, 2025
  • Soko la Kariakoo Kuwa na Bima ya Majanga

    July 31, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.