• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • About KMC
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa taasisi
    • Core Functions
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Investment and Projects
    • Ongoing Projects
    • Miradi iliyokamilika
    • Upcoming Projects
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Tenders
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • E- Services Links
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Majina ya Wafanyabiashara Kariakoo

Posted on: January 31st, 2025

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Masoko ya Kariakoo Hawa Ghasia amesema kuanzia Januari 31 mwaka huu kazi ya kupandisha kwenye mfumo majina ya wafanyabiashara 1,520 ambao walikuwepo kwenye soko la Kariakoo kabla ajali ya moto ya Julai 10,2021 itaanza.

Ametoa kauli hiyo jana (Januari 30,2025) wakati wa kikao cha Mkuu wa Mkoa wa Dare Salaam Albert Chalamila na waandishi wa habari kuhusu kutangaza kuwa ifikapo Februari 22 mwaka huu Soko la Kariakoo litaanza kufanya kazi saa Ishirini na Nne.

Ghasia aliongeza kuwa baada ya Shirika kupandisha majina kwenye mfumo, wafanyabiashara wanatakiwa kujaza fomu Maalum ili kuanza taratibu za kurejeshwa kwenye soko.

Katika hatua nyingine Mwenyekiti huyo alisema, hakuna mfanyabiashara ambaye atarejeshwa sokoni endapo hajalipa deni la awali na kubainisha kuwepo kwa wafanyabiashara 366 wanaodaiwa zaidi ya shilingi Milioni 358.Awali Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila alitangaza kuwa biashara kuwa biashara katika Jiji la Dar es Salaam zitafanyika kwa saa 24 kuanzia tarehe 22 Februari mwaka huu na kusisitiza kuwa maandalizi ikiwemo uwekaji taa katika maeneo ya Soko la Kariakoo ukiendelea vizuri

Soko la Kariakoo lilisitisha shughuli zake mwaka 2021 mara baada ya ajali ya moto ambapo kwa sasa serikali ya Awamu ya Sita imefanikisha kutumia shilingi Bilioni 28.03 kujenga na ukarabati lile la zamani.


Mwisho.

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

    October 11, 2025
  • Meneja Mkuu Shirika la Masoko Kariakoo, Bw. Ashiraf Abdulkarim anasema Kariakooo ndiyo Soko kubwa ambalo wafanyabiashara wa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania wanakuja kufanya biashara.

    September 24, 2025
  • Dkt. Jafo: Wafanyabiashara Kariakoo Kuweni Mabalozi wa Amani

    August 15, 2025
  • Soko la Kariakoo Kuwa na Bima ya Majanga

    July 31, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.