• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

SOKO LA KARIAKOO MBIONI KUFUNGULIWA

Posted on: December 19th, 2025

Shirika la Masoko ya Kariakoo limekutana na kufanya mazungumzo na wafanyabiashara wa soko la Kariakoo kwa lengo la kuwasikiliza na kuwapa mrejesho wa namna shirika hilo lilivyoshugulikia maoni na changamoto za wafanyabiashara ikiwa ni maandalizi ya kufungua soko hilo Januari, 2026.


Akiongea na wafanyabiashara hao, Meneja Mkuu wa shirika hilo CPA. Ashraph Abdulkarim amesema shirika hilo limefanikiwa kuwapangia maeneo wafanyabiashara wa zamani 1520 waliokidhi vigezo vya kurejea sokoni hapo na kupata wateja wapya 351 ambao wameomba kupitia mfumo wa TAUSI.


CPA. Abdulkarim ameongeza kuwa kufuatia maoni yao, mkandarasi anafanya marekebisho madogo madogo ambayo yatakamilika mapema iwezekanavyo ili soko hilo liweze kuanza kufanya kazi na kuwafanya wafanyabiashara hao kufanya biashara zao katika mazingira salama na ya uhakika.


CPA.Adbdulkarim amebainisha kuwa miongoni mwa shughuli zilizofanyika ni pamoja na kushughulikia malalamiko ya wafanyabiashara hao, kusaini mikataba pamoja na kuingiza mikataba hiyo katika mfumo wa TAUSI.


Ameongeza kuwa shirika hilo litaendelea kusikiliza na kushauriana na wafanyabiashara hao mara kwa mara kwa kutambua kuwa soko la Kariakoo ni mali yao na wafanyakazi wa shirika hilo wanafanya kazi ya usimamizi kwa niaba ya wananchi ikiwemo wafanyabiashara hao.


Serikali imekarabati na kujenga soko la Kariakoo kwa takribani Bilioni 28 na kuweka mifumo ya kisasa ya Tehama, usalama, maegesho ya magari pamoja na huduma zingine za kijamii ambayo yanaakisi mifumo masoko ya kisasa duniani.

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SOKO LA KARIAKOO MBIONI KUFUNGULIWA

    December 19, 2025
  • SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO LAANZA KUANDAA MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO 2026-2031.

    December 12, 2025
  • ASKARI WA SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO WANOLEWA KUHUSU HUDUDUMA BORA KWA MTEJA.

    December 05, 2025
  • ASKARI WA SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO WANOLEWA KUHUSU HUDUDUMA BORA KWA MTEJA.

    December 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.