• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • About KMC
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa taasisi
    • Core Functions
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Investment and Projects
    • Ongoing Projects
    • Miradi iliyokamilika
    • Upcoming Projects
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Tenders
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • E- Services Links
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Utaratibu wa Kujisajili TAUSI

Posted on: July 16th, 2024

Ni hatua gani za kujisajili kwenye mfumo wa TAUSI kwa mara ya kwanza na nyaraka gani muhimu kuwa nazo?

Mtumiaji wa mfumo anapaswa kujisajili na kutengeneza akaunti yeye mwenyewe (Self service) kwenye dirisha linaloitwa Taxpayer Portal linalopatikana katika anuani ya tausi.tamisemi.go.tz. Ili mteja aweze kujisajili anatakiwa kuwa na vitu vifuatavyo:-

  • Namba ya kitambulisho cha Taifa (NIN) kutoka NIDA;
  • Namba ya(za) simu iliyosajiliwa kwa kutumia kitambulisho cha NIDA;
  • Namba ya utambulisho wa mlipa kodi ya binafsi (Individual TIN) kutoka TRA; na
  • Namba ya utambulisho wa mlipa kodi ya kampuni (Company TIN) kutoka TRA endapo ni kampuni inahitaji kupata huduma kwenye mfumo na barua ya utambulisho wa Msimamizi wa kampuni (Caretaker) ili aweze kuhusishwa na kampuni hiyo katika kupata huduma. Hii husaidia kuonyesha taarifa za umiliki wa huduma kama ni wa kampuni au binafsi.

Halikadhalika,mteja atazipata huduma hizi kwenye mfumo akiingia kama:-

Mtu binafsi - Kupitia namba ya kitambulisho cha Taifa (NIN) kama username iliyoambatana na TIN binafsi ya mlipakodi; au

Kampuni - Kupitia Msimamizi (Caretaker) aliyetambulishwa na Kampuni kufanya maombi kwa niaba ya Kampuni kupitia TIN ya kampuni aliyohusishwa nayo kwenye mfumo. Hivyo huduma zitakazoombwa kwa njia hii zitasoma/zitakuwa chini ya kampuni kuanzia ankara za malipo (Bill), umiliki na hati za malipo (Payment).

Baada ya mfanyabiashara kutengenezeza akaunti, ataweza kuingia kwenye mfumo kupitia dirisha la mlipakodi ili kuendelea kupata huduma mbalimbali zitakazotangazwa na Shirika

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

    October 11, 2025
  • Meneja Mkuu Shirika la Masoko Kariakoo, Bw. Ashiraf Abdulkarim anasema Kariakooo ndiyo Soko kubwa ambalo wafanyabiashara wa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania wanakuja kufanya biashara.

    September 24, 2025
  • Dkt. Jafo: Wafanyabiashara Kariakoo Kuweni Mabalozi wa Amani

    August 15, 2025
  • Soko la Kariakoo Kuwa na Bima ya Majanga

    July 31, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.