• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Wabunge Wapongeza Serikali Mradi wa Soko la Kariakoo

Posted on: April 13th, 2025

Wabunge wameipogeza Serikali ya Awamu ya Sita kwa kufanikisha ujenzi na ukarabati wa soko la Kariakoo ambalo limeboreshwa na kuwa na viwango vya kimataifa.

Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Justin Nyamoga  (Aprili 12,2025) Dar es Salaam wakati walipokagua maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo na maandalizi ya kuwarejesha wafanyabiashara.

“Sisi kama Bunge tumekagua na kujionea kazi kubwa ya Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan aliyetoa shilingi Bilioni 28.03 ili kujenga soko jipya na kukarabati lile lililoungua ambapo mradi huu utanufaisha watu wengi” alisema Nyamoga.

Nyamoga aliongeza kusema Wabunge wameridhishwa na viwango vya ubora na usalama vilivyowekwa katika Soko la Kariakoo unaolifanya kuwa na taswira ya kimataifa.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI Festo Dugange alisema mradi huo ulianza kutekelezwa mwaka 2022 umefikia asilimia 98 ukigharimu zaidi ya Bilioni 28 ambapo utaongeza nafasi za biashara toka 1,662 hadi 1,907.

Dugange alieleza kuwa lengo la Serikali ni kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara katika soko la Kariakoo ambalo litafanya kazi kwa muda wa saa 24 kuwa maandalizi yamekamilika.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila alisema soko litafunguliwa hivi karibuni na kwamba Serikali itahakikisha wafanyabiashara wote wenye sifa wanapatiwa maeneo kulingana na sifa zilizoanishwa.

Akitoa taarifa kuhusu maandalizi ya kuwarejesha wafanyabiashara sokoni hapo, Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo CPA Ashraph Yusuph Abdulkarim alisema tayari wafanyabiashara 1,002 kati 1,520 wa kundi la kwanza wamepangiwa maeneo ndani na mfumo wa TAUSI.

CPA Abdulkarim aliongeza kusema, wafanyabiashara 518 kati ya 1,520 wana changamoto mbalimbali ikiwemo 194 kuwa na madeni ya nyuma, 134 hawajaza fomu maalum na 190 hawana namba ya kitambulisho cha Taifa (NIDA) na Namba ya Mlipa Kodi (TIN) , hivyo hawajapangiwa maeneo hadi sasa.

Mwisho

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ASKARI WA SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO WANOLEWA KUHUSU HUDUDUMA BORA KWA MTEJA.

    December 05, 2025
  • ASKARI WA SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO WANOLEWA KUHUSU HUDUDUMA BORA KWA MTEJA.

    December 05, 2025
  • ASKARI WA SHIRIKA LA MASOKO KARIAKOO WANOLEWA KUHUSU HUDUDUMA BORA KWA MTEJA.

    December 05, 2025
  • Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

    October 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.