• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • About KMC
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa taasisi
    • Core Functions
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Investment and Projects
    • Ongoing Projects
    • Miradi iliyokamilika
    • Upcoming Projects
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Tenders
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • E- Services Links
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Wafanyabiashara Lipeni Madeni Kabla ya Kurejea Kariakoo

Posted on: January 30th, 2025

Shirika la Masoko ya Kariakoo linatarajiwa kuanza kufanya biashara kwa muda wa masaa ishinini na nne kuanzia mwezi Februari mwaka huu baada ya kazi ya ujenzi na ukarabati kukamilika.

Katika kuhahikisha kuwa Shirika linaimarisha mapato yake na kuondoa madeni ya awali ,  kigezo cha wenye madeni kuhakikisha wanalipa kabla ya kurejea sokoni Kariakoo kimewekwa . Orodha ya wafanyabiashara itapandishwa kwenye mfumo mwisho mwa wiki hii kuwezesha wananchi kuona majina yao yaliyokidhi vigezo na sifa za uhakiki.

Akizungumza na waandishi wa habari (Januari 29,2025) Dar es Salaam , Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi  wa Shirika hilo, Mhe. Hawa Ghasia alisema hakutakuwa na  mfanyabiashara mwenye deni atakayerejeshwa sokoni hivyo akatoa wito kwa Wafanyabiashara wote wenye madeni kulipa madeni yao kabla ya kurejea Sokoni.

"Takwimu zetu zinaonyesha jumla ya wafanyabiashara 366 wanadaiwa na Shirika Shilingi 358,571,106.85. Deni hili lilikuwepo tangu kabla ya ajali ya moto ya tarehe 10 Julai 2021" alisisitiza Mhe. Ghasia.

Katika hatua nyingine, Mwenyekiti huyo wa Bodi amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha shilingi BILIONI 28.03 zilizofanikisha ujenzi na ukarabati wa soko la Kariakoo.

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maandalizi Ufunguzi wa Soko la Kariakoo Yakamilika

    October 11, 2025
  • Meneja Mkuu Shirika la Masoko Kariakoo, Bw. Ashiraf Abdulkarim anasema Kariakooo ndiyo Soko kubwa ambalo wafanyabiashara wa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania wanakuja kufanya biashara.

    September 24, 2025
  • Dkt. Jafo: Wafanyabiashara Kariakoo Kuweni Mabalozi wa Amani

    August 15, 2025
  • Soko la Kariakoo Kuwa na Bima ya Majanga

    July 31, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    General Manager, Kariakoo Markets Corporation, Nyamwezi/Tandamti Street,

    Anuani ya posta: P. O. Box 15789 Dar es Salaam, Tanzania

    Simu: +255 22 2180678

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe za Watumishi: info@kariakoomarket.co.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.