• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources and Administration
      • Health and Sanitation
      • Finance
      • Planning and Commercial
    • Vitengo
      • Maintenance Service
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
      • Security
  • Kituo cha habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya picha
    • Press-Releases
    • Video
  • Marketing
    • Products and Services
    • Marketing Price
  • Miradi na Fursa za uwekezaji
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Manunuzi
    • Zabuni
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Journals/Newsletter
    • Reports
    • Hotuba
  • Huduma mtandao
    • Revenue Collection(TAUSI)
    • GISP Portal
    • Employees Self Service Portal
    • E - Mrejesho
    • E - Board
    • E - Mikutano

Watumishi Kariakoo Watakiwa Kuepuka Mazoea, Kufanya Kazi kwa Bidii

Posted on: June 27th, 2025

Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo, CPA Ashraph Abdulkarim, amewataka watumishi wa Shirika hilo kufanya kazi kwa bidii na kuepuka mazoea yanayopunguza tija, ikiwemo kutoheshimu muda na kutotekeleza maelekezo ya viongozi.

Akizungumza leo Juni 27, 2025 jijini Dar es Salaam katika hafla ya kumuaga mtumishi mstaafu Flavian Mlelwa, CPA Abdulkarim amesisitiza kujifunza kutoka kwa Mlelwa ambaye ametumikia Shirika kwa miaka 37 kwa bidii, uvumilivu na uzalendo.

Kwa upande wake, Mlelwa aliyestaafu Machi 2025 alisema alianza kazi mwaka 1988 na kupitia changamoto na mafanikio, akitaja tukio la moto wa Soko Julai 10, 2021 kama baya zaidi.

Mlelwa ameishukuru Serikali kupitia Shirika la Masoko ya Kariakoo kwa kumpatia stahiki zote za kustaafu, ikiwemo nauli ya kurejea nyumbani Makete na malipo ya mkono wa kwaheri kwa mujibu wa mkataba wa hali bora.

Matangazo

  • Taarifa kwa Umma January 31, 2025
  • Taarifa kwa Umma January 29, 2025
  • Usajili wa wafanyabiashara November 14, 2023
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 August 15, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIAKOO, URA SECURITY KUIMARISHA ULINZI SOKO LA KARIAKOO.

    February 27, 2026
  • AGAKHAN WAONESHA NIA YA KUANZISHA KITUO CHA KULEA WATOTO KARIAKOO.

    February 26, 2026
  • JKCI NDANI YA SOKO KUU LA KARIAKOO, WANANCHI KUPATA HUDUMA BURE NDANI YA WIKI MOJA

    February 24, 2026
  • KARIAKOO, ZIMAMTOTO WATOA ELIMU YA ZIMAMOTO NA UOKOJI KWA WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 400

    February 23, 2026
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TAMISEMI
  • eGovernment Authority
  • Employees Self Service Portal

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Visitors Counter

www.freevisitorcounters.com

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2024 Shirika la Masoko ya Kariakoo . All rights reserved.